Habari Mpya
-
12
September
2023MBARAWA AZINDUA BODI MPYA YA WAKURUGENZI TRC
Shirika la Reli Tanzania - TRC imefanya hafla fupi ya uzinduzi wa Bodi mpya ya wakurugenzi iliyo ongozwa na mgeni rasmi Waziri wa Uchukuzi Mhe. Prof. Makame Mbarawa iliyofanyika katika jengo la stesheni ya SGR Soma zaidi
-
11
September
2023TRC YAPOKEA MAKASHA YA UBARIDI KUTOKA WFP
Shirika la Reli Tanzania - TRC limepokea makasha matano ya ubaridi kwaajili ya kusafirisha matunda na mbogamboga kwa kutumia usafiri wa treni kutoka Shirika la Mpango wa Chakula Duniani Soma zaidi
-
-
30
August
2023TRC YAENDELEA NA ZOEZI LA FIDIA MKOANI TABORA
Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na zoezi la ulipaji fidia kwa wananchi waliotwaliwa maeneo kupisha mradi wa reli yenye kiwango cha kimataifa - SGR Soma zaidi
-
29
August
2023FIDIA ZA MRADI WA SGR ZAWANUFAISHA WANANCHI KANDA YA ZIWA
Fidia zinazolipwa na Serikali kupitia Shirika la Reli Tanzania – TRC kwa wananchi waliotwaliwa maeneo yao kupisha mradi wa ujenzi wa reli yenye kiwango cha kimataifa – SGR Soma zaidi
-
27
August
2023MSEMAJI MKUU WA SERIKALI AELEZEA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA KIMKAKATI
Msemaji Mkuu wa Serikali Ndugu Gerson Msigwa amekutana na waandishi wa habari kwenye mkutano uliofanyika katika jengo la stesheni ya SGR lililopo jijini Dar es Salaam Soma zaidi