Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • ​UKAGUZI WA VICHWA VYA TRENI VYA UMEME NCHINI KOREA, TRC YAJIPANGA KUHAKIKISHA VIWANGO
    21
    July
    2023

    ​UKAGUZI WA VICHWA VYA TRENI VYA UMEME NCHINI KOREA, TRC YAJIPANGA KUHAKIKISHA VIWANGO

    Shirika la Reli Tanzania TRC linaendelea na majaribio ya mifumo ya vifaa vya uendeji wa Reli ya kisasa SGR vinavyotengenezwa na Kampuni ya Hyundai Rotem katika mji wa Changwon, nchini Korea ya Kusini, Julai, 2023. Soma zaidi

  • ​TRC YAIBUKA KIDEDEA MAONESHO YA SABASABA 2023
    14
    July
    2023

    ​TRC YAIBUKA KIDEDEA MAONESHO YA SABASABA 2023

    Shirika la Reli Tanzania – TRC laibuka kidedea kwa kushika nafasi ya kwanza katika Maonesho ya 47 ya kimataifa ya biashara maarufu SABASABA na kupata Tuzo katika sekta ya Usafirishaji nchini, wakati wa hafla ya kufunga maonesho hayo jijini Dar es Salaam Julai 13, 2023. Soma zaidi

  • ​KASEKENYA ATEMBELEA BANDA LA TRC SABASABA
    06
    July
    2023

    ​KASEKENYA ATEMBELEA BANDA LA TRC SABASABA

    Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mhe. Godfrey Kasekenya atembelea banda la Shirika la Reli Tanzania - TRC Soma zaidi

  • ​SGR KUWA KITOVU CHA UKUAJI WA BIASHARA TANZANIA
    06
    July
    2023

    ​SGR KUWA KITOVU CHA UKUAJI WA BIASHARA TANZANIA

    Mkurugenzi wa Miundombinu na Ujenzi Shirika la Reli Tanzania - TRC Mhandisi Machibya Masanja pamoja na Mkurugenzi wa Ishara, Mawasiliano na Umeme Soma zaidi

  • ​MKUU WA CHUO CHA RELI ATEMBELEA BANDA LA TRC SABASABA
    03
    July
    2023

    ​MKUU WA CHUO CHA RELI ATEMBELEA BANDA LA TRC SABASABA

    Shirika la Reli Tanzania - TRC limepokea ugeni wa Mkuu wa Chuo cha Teknolojia ya Reli - Tabora (TIRTEC) Ndugu Damas Mwajanga Soma zaidi

  • ​VIONGOZI WA CHAMA CHA RPF – INKOTANYI NCHINI RWANDA WATEMBELEA SGR
    02
    July
    2023

    ​VIONGOZI WA CHAMA CHA RPF – INKOTANYI NCHINI RWANDA WATEMBELEA SGR

    Shirika la Reli Tanzania – TRC limetembelewa na viongozi wa Chama Tawala cha Rwanda RPF – Inkotanyi wakiongozwa na Katibu Mkuu Ndugu Wellars Gasamagera, viongozi hawa Soma zaidi