Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • ​TRC YAPOKEA MAKASHA YA UBARIDI KUTOKA WFP
    11
    September
    2023

    ​TRC YAPOKEA MAKASHA YA UBARIDI KUTOKA WFP

    Shirika la Reli Tanzania - TRC limepokea makasha matano ya ubaridi kwaajili ya kusafirisha matunda na mbogamboga kwa kutumia usafiri wa treni kutoka Shirika la Mpango wa Chakula Duniani Soma zaidi

  • WANAFUNZI CHUO CHA RELI TABORA WATEMBELEA MRADI WA SGR
    05
    September
    2023

    WANAFUNZI CHUO CHA RELI TABORA WATEMBELEA MRADI WA SGR

    . Soma zaidi

  • ​TRC YAENDELEA NA ZOEZI LA FIDIA MKOANI TABORA
    30
    August
    2023

    ​TRC YAENDELEA NA ZOEZI LA FIDIA MKOANI TABORA

    ​Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na zoezi la ulipaji fidia kwa wananchi waliotwaliwa maeneo kupisha mradi wa reli yenye kiwango cha kimataifa - SGR Soma zaidi

  • ​FIDIA ZA MRADI WA SGR ZAWANUFAISHA WANANCHI KANDA YA ZIWA
    29
    August
    2023

    ​FIDIA ZA MRADI WA SGR ZAWANUFAISHA WANANCHI KANDA YA ZIWA

    Fidia zinazolipwa na Serikali kupitia Shirika la Reli Tanzania – TRC kwa wananchi waliotwaliwa maeneo yao kupisha mradi wa ujenzi wa reli yenye kiwango cha kimataifa – SGR Soma zaidi

  • ​MSEMAJI MKUU WA SERIKALI AELEZEA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA KIMKAKATI
    27
    August
    2023

    ​MSEMAJI MKUU WA SERIKALI AELEZEA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA KIMKAKATI

    Msemaji Mkuu wa Serikali Ndugu Gerson Msigwa amekutana na waandishi wa habari kwenye mkutano uliofanyika katika jengo la stesheni ya SGR lililopo jijini Dar es Salaam Soma zaidi

  • ​WANANCHI 287 WALIPWA FIDIA KUPISHA UJENZI WA MIUNDOMBINU YA RELI YA SGR TABORA - KIGOMA
    24
    August
    2023

    ​WANANCHI 287 WALIPWA FIDIA KUPISHA UJENZI WA MIUNDOMBINU YA RELI YA SGR TABORA - KIGOMA

    Shirika la Reli Tanzania - TRC limeendelea na zoezi la ulipaji fidia kwa wananchi ambao ardhi zao zimetwaaliwa kwaajili ya kupisha ujenzi wa reli ya kiwango cha kimataifa - SGR Soma zaidi