Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • ​MAENEO YAENDELEA KUTWALIWA MKOA WA PWANI KUPISHA MRADI WA SGR
    06
    April
    2023

    ​MAENEO YAENDELEA KUTWALIWA MKOA WA PWANI KUPISHA MRADI WA SGR

    ​Shirika la Reli Tanzania – TRC linaendelea la zoezi la ulipaji wa fidia kwa wananchi waliotwaliwa ardhi zao kupisha mradi wa ujenzi wa reli ya kiwango cha kimataifa – SGR Soma zaidi

  • ​TRC YAENDELEA NA ZOEZI LA ULIPAJI FIDIA KUWEZESHA UJENZI WA SGR MKOANI DODOMA
    06
    April
    2023

    ​TRC YAENDELEA NA ZOEZI LA ULIPAJI FIDIA KUWEZESHA UJENZI WA SGR MKOANI DODOMA

    Shirika la Reli - TRC limeendelea na zoezi la ulipaji fidia mkoani dodoma kwa wananchi waliotwaliwa ardhi zao katika wilaya ya Bahi, Dodoma jiji, Chamwino na Mpwapwa katika kipande cha pili Morogoro - Makutupora cha ujenzi wa reli ya kisasa, April 2023. Soma zaidi

  • ​KIKAO KAZI CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI TRC
    02
    April
    2023

    ​KIKAO KAZI CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI TRC

    Shirika la Reli Tanzania - TRC limefanya kikao cha baraza la wafanyakazi TRC jijini Dar es Salaam katika ukumbi wa Bandari tarehe 30 na 31 mwezi Machi 2023. Soma zaidi

  • ​KAMATI YA BUNGE PIC YAIPONGEZA SERIKALI KWA KUENDELEZA MRADI WA SGR
    28
    March
    2023

    ​KAMATI YA BUNGE PIC YAIPONGEZA SERIKALI KWA KUENDELEZA MRADI WA SGR

    Kamati ya bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma ikiongozwa na Mwenyekiti wa kamati Mhe. Jerry Silaa yafanya ziara katika mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa – SGR Mwanza – Isaka, Machi 28, 2023. Soma zaidi

  • ​WAZIRI MKUU ASHUHUDIA RELI ILIYOTANDIKWA, MRADI WA SGR MWANZA – ISAKA WAFIKA 28%
    27
    March
    2023

    ​WAZIRI MKUU ASHUHUDIA RELI ILIYOTANDIKWA, MRADI WA SGR MWANZA – ISAKA WAFIKA 28%

    Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa ameshuhudia reli iliyoanza kutandikwa katika mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa – SGR Mwanza – Isaka akiwa katika ziara ya kikazi mkoani Simiyu Machi 26, 2023. Soma zaidi

  • ​KAMPENI YA UELEWA KUHUSU MRADI WA SGR KIPANDE CHA NNE TABORA –ISAKA YAANZA
    26
    March
    2023

    ​KAMPENI YA UELEWA KUHUSU MRADI WA SGR KIPANDE CHA NNE TABORA –ISAKA YAANZA

    Shirika la Reli Tanzania limeanza utoaji wa elimu kwa wananchi wa mkoa wa Tabora kuhusu mradi wa SGR kipande cha nne Tabora – Isaka chenye jumla ya kilomita 165, Machi 2023. Soma zaidi