Habari Mpya
-
09
June
2023TRC YALIPA FIDIA MKOANI DODOMA KUWEZESHA UJENZI WA VIVUKO SGR
Shirika la Reli Tanzania - TRC limeendelea na zoezi la ulipaji fidia Dodoma Jiji, Bahi, Chamwino na Mpwapwa katika kipande cha pili cha ujenzi wa reli ya kisasa Morogoro - Makutupora, Juni 2023. Soma zaidi
-
04
June
2023MAENEO YAENDELEA KUTWALIWA MANYONI MKOANI SINGIDA
Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na zoezi la ulipaji fidia kwa wananchi waliotwaliwa maeneo kupisha mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa Soma zaidi
-
01
June
2023FAFANUA KUHUSU KUCHELEWA KUANZA UTOAJI HUDUMA KWA KUTUMIA TRENI YA UMEME (SGR) -MSEMAJI MKUU WA SERIKALI
Ufafanuzi kuhusu kuchelewa kuanza utoaji huduma kwa kutumia treni ya umeme ya SGR Soma zaidi
-
28
May
2023WANANCHI WAENDELEA KULIPWA FIDIA KUPISHA UJENZI WA SGR TABORA
Shirika la Reli Tanzania - TRC limeendelea na zoezi la uhamasishaji na ulipaji fidia kwa Wananchi ambao maeneo yao Soma zaidi
-
22
May
2023ZOEZI LA FIDIA LAENDELEA MKOANI TABORA
Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na zoezi la ulipaji fidia kwa wananchi waliotwaliwa maeneo kupisha mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa - SGR Soma zaidi
-
16
May
2023WANANCHI MKOANI TABORA WAENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KATIKA UTWAAJI ARDHI
Wananchi waliotwaliwa maeneo yao kupisha mradi wa ujenzi wa reli ya kiwango cha kimataifa – SGR kipande cha Makutupora – Tabora Soma zaidi