Habari Mpya
-
11
December
2023WAZIRI MBARAWA ARIDHISHWA NA MAJARIBIO YA KICHWA CHA TRENI YA SGR
Waziri wa Uchukuzi Mhe. Professor Makame Mbarawa afanya ziara fupi ya kuona majaribio ya kichwa cha treni ya umeme Soma zaidi
-
09
December
2023408 WAHITIMU KATIKA MAHAFALI YA TATU YA TIRTEC
Wahitimu 408 wamehitimu mafunzo ya ngazi ya Stashahada, Astashahada ya Awali na Astashahada katika Chuo cha Teknolojia ya Reli Tanzania – TIRTEC katika mahafali yaliyofanyika mkoani Tabora, Disemba 8, 2023. Soma zaidi
-
-
30
November
2023TRC YAENDELEA KUTOA ELIMU KUHUSU USALAMA WA RELI KWA WANANCHI
Shirika la Reli Tanzania - TRC limeendelea na zoezi la uhamasishaji na utoaji elimu kwa wananchi wanaozunguka maeneo ya reli zikiwemo shule na taasisi mbalimbali kutoka Dar es Salaam Soma zaidi
-
25
November
2023PROF. MBARAWA ARIDHISHWA NA MAENDELEO YA MRADI WA SGR MWANZA - ISAKA
Waziri wa Uchukuzi Mhe. Prof. Makame Mbarawa ameridhishwa na kasi ya ujenzi wa reli ya kiwango cha kimataifa - SGR Soma zaidi
-
13
November
2023WANANCHI WAAHIDI KUHESHIMU MIPAKA ILIYOWEKWA KWENYE NJIA ZA UMEME MRADI WA SGR
Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na zoezi la utwaaji ardhi kupisha mradi wa ujenzi wa reli yenye kiwango cha kimataifa - SGR kipande cha pili Morogoro - Makutupora Soma zaidi

