Habari Mpya
-
25
November
2023PROF. MBARAWA ARIDHISHWA NA MAENDELEO YA MRADI WA SGR MWANZA - ISAKA
Waziri wa Uchukuzi Mhe. Prof. Makame Mbarawa ameridhishwa na kasi ya ujenzi wa reli ya kiwango cha kimataifa - SGR Soma zaidi
-
13
November
2023WANANCHI WAAHIDI KUHESHIMU MIPAKA ILIYOWEKWA KWENYE NJIA ZA UMEME MRADI WA SGR
Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na zoezi la utwaaji ardhi kupisha mradi wa ujenzi wa reli yenye kiwango cha kimataifa - SGR kipande cha pili Morogoro - Makutupora Soma zaidi
-
09
November
2023RC CHALAMILA APONGEZA HUDUMA YA TRENI ZA JIJINI DAR ES SALAAM
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila ametembelea Shirika la Reli Tanzania – TRC kuona huduma ya usafiri wa treni ya mjini inayofanya safari kutoka Kamata kuelekea Pugu Soma zaidi
-
-
05
November
2023TUKO TAYARI KULINDA MIUNDOMBINU YA RELI YA SGR: WANANCHI KILOSA
Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na zoezi la utwaaji ardhi kupisha mradi wa ujenzi wa reli yenye kiwango cha kimataifa - SGR kipande cha pili Morogoro - Makutupora Soma zaidi
-
21
October
2023WANANCHI MKOANI DODOMA WAPATA ELIMU KUHUSU KUANZA KWA MRADI WA DARAJA LA GODEGODE
Shirika la Reli Tanzania limefanya kampeni ya uelewa kwa wananchi wanaoishi katika vijiji vinavyozunguka mradi wa ujenzi wa daraja la Godegode Soma zaidi