Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • ​WAZIRI MBARAWA ARIDHISHWA NA MAJARIBIO YA KICHWA CHA TRENI YA SGR
    11
    December
    2023

    ​WAZIRI MBARAWA ARIDHISHWA NA MAJARIBIO YA KICHWA CHA TRENI YA SGR

    Waziri wa Uchukuzi Mhe. Professor Makame Mbarawa afanya ziara fupi ya kuona majaribio ya kichwa cha treni ya umeme Soma zaidi

  • ​408 WAHITIMU KATIKA MAHAFALI YA TATU YA TIRTEC
    09
    December
    2023

    ​408 WAHITIMU KATIKA MAHAFALI YA TATU YA TIRTEC

    Wahitimu 408 wamehitimu mafunzo ya ngazi ya Stashahada, Astashahada ya Awali na Astashahada katika Chuo cha Teknolojia ya Reli Tanzania – TIRTEC katika mahafali yaliyofanyika mkoani Tabora, Disemba 8, 2023. Soma zaidi

  • ZAHANATI YA TRC YA POKEA VIFAA TIBA
    08
    December
    2023

    ZAHANATI YA TRC YA POKEA VIFAA TIBA

    . Soma zaidi

  • ​TRC YAENDELEA KUTOA ELIMU KUHUSU USALAMA WA RELI KWA WANANCHI
    30
    November
    2023

    ​TRC YAENDELEA KUTOA ELIMU KUHUSU USALAMA WA RELI KWA WANANCHI

    ​Shirika la Reli Tanzania - TRC limeendelea na zoezi la uhamasishaji na utoaji elimu kwa wananchi wanaozunguka maeneo ya reli zikiwemo shule na taasisi mbalimbali kutoka Dar es Salaam Soma zaidi

  • ​PROF. MBARAWA ARIDHISHWA NA MAENDELEO YA MRADI WA SGR MWANZA - ISAKA
    25
    November
    2023

    ​PROF. MBARAWA ARIDHISHWA NA MAENDELEO YA MRADI WA SGR MWANZA - ISAKA

    Waziri wa Uchukuzi Mhe. Prof. Makame Mbarawa ameridhishwa na kasi ya ujenzi wa reli ya kiwango cha kimataifa - SGR Soma zaidi

  • ​WANANCHI WAAHIDI KUHESHIMU MIPAKA ILIYOWEKWA KWENYE NJIA ZA UMEME MRADI WA SGR
    13
    November
    2023

    ​WANANCHI WAAHIDI KUHESHIMU MIPAKA ILIYOWEKWA KWENYE NJIA ZA UMEME MRADI WA SGR

    Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na zoezi la utwaaji ardhi kupisha mradi wa ujenzi wa reli yenye kiwango cha kimataifa - SGR kipande cha pili Morogoro - Makutupora Soma zaidi