Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • ​TRC YALIPA FIDIA MKOANI DODOMA KUWEZESHA UJENZI WA VIVUKO SGR
    09
    June
    2023

    ​TRC YALIPA FIDIA MKOANI DODOMA KUWEZESHA UJENZI WA VIVUKO SGR

    Shirika la Reli Tanzania - TRC limeendelea na zoezi la ulipaji fidia Dodoma Jiji, Bahi, Chamwino na Mpwapwa katika kipande cha pili cha ujenzi wa reli ya kisasa Morogoro - Makutupora, Juni 2023. Soma zaidi

  • ​MAENEO YAENDELEA KUTWALIWA MANYONI MKOANI SINGIDA
    04
    June
    2023

    ​MAENEO YAENDELEA KUTWALIWA MANYONI MKOANI SINGIDA

    Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na zoezi la ulipaji fidia kwa wananchi waliotwaliwa maeneo kupisha mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa Soma zaidi

  • FAFANUA KUHUSU KUCHELEWA KUANZA UTOAJI HUDUMA KWA KUTUMIA TRENI YA UMEME (SGR) -MSEMAJI MKUU WA SERIKALI
    01
    June
    2023

    FAFANUA KUHUSU KUCHELEWA KUANZA UTOAJI HUDUMA KWA KUTUMIA TRENI YA UMEME (SGR) -MSEMAJI MKUU WA SERIKALI

    Ufafanuzi kuhusu kuchelewa kuanza utoaji huduma kwa kutumia treni ya umeme ya SGR Soma zaidi

  • ​WANANCHI WAENDELEA KULIPWA FIDIA KUPISHA UJENZI WA SGR TABORA
    28
    May
    2023

    ​WANANCHI WAENDELEA KULIPWA FIDIA KUPISHA UJENZI WA SGR TABORA

    Shirika la Reli Tanzania - TRC limeendelea na zoezi la uhamasishaji na ulipaji fidia kwa Wananchi ambao maeneo yao Soma zaidi

  • ​ZOEZI LA FIDIA LAENDELEA MKOANI TABORA
    22
    May
    2023

    ​ZOEZI LA FIDIA LAENDELEA MKOANI TABORA

    Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na zoezi la ulipaji fidia kwa wananchi waliotwaliwa maeneo kupisha mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa - SGR Soma zaidi

  • ​WANANCHI MKOANI TABORA WAENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KATIKA UTWAAJI ARDHI
    16
    May
    2023

    ​WANANCHI MKOANI TABORA WAENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KATIKA UTWAAJI ARDHI

    Wananchi waliotwaliwa maeneo yao kupisha mradi wa ujenzi wa reli ya kiwango cha kimataifa – SGR kipande cha Makutupora – Tabora Soma zaidi