Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • ​ZAIDI YA BILIONI MOJA KULIPA FIDIA KWA WANANCHI MKOANI SHINYANGA
    14
    August
    2023

    ​ZAIDI YA BILIONI MOJA KULIPA FIDIA KWA WANANCHI MKOANI SHINYANGA

    Shirika la Reli Tanzania linaendelea na zoezi la ulipaji fidia kwa wananchi waliotwaliwa maeneo yao kupisha mradi wa ujenzi wa reli yenye kiwango cha kimataifa – SGR Soma zaidi

  • ​TRC YAENDELEA NA ZOEZI LA ULIPAJI FIDIA MKOANI MOROGORO
    14
    August
    2023

    ​TRC YAENDELEA NA ZOEZI LA ULIPAJI FIDIA MKOANI MOROGORO

    ​Shirika la Reli Tanzania - TRC limeendelea na zoezi la kulipa fidia kwa wananchi waliopisha maeneo Soma zaidi

  • TRC YAFANYA SEMINA KWA WAFANYAKAZI WANAOSIMAMIA SGR
    06
    August
    2023

    TRC YAFANYA SEMINA KWA WAFANYAKAZI WANAOSIMAMIA SGR

    . Soma zaidi

  • ​WANANCHI WAENDELEA KUPOKEA STAHIKI ZAO KUPISHA MRADI WA SGR
    05
    August
    2023

    ​WANANCHI WAENDELEA KUPOKEA STAHIKI ZAO KUPISHA MRADI WA SGR

    ​Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendelea na zoezi la ulipaji fidia kwa wananchi waliotwaliwa maeneo kupisha mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa - SGR Soma zaidi

  • ​BALOZI MAVURA ASHUHUDIA UTENGENEZAJI WA “TRENI ZILIZOCHONGOKA”, AWATOA HOFU WATANZANIA
    26
    July
    2023

    ​BALOZI MAVURA ASHUHUDIA UTENGENEZAJI WA “TRENI ZILIZOCHONGOKA”, AWATOA HOFU WATANZANIA

    Balozi wa tanzania nchini Korea ya kusini Mhe. Togolani Mavura ametembelea kiwanda cha kampuni ya Hyundai Rotem Soma zaidi

  • ​UKAGUZI WA VICHWA VYA TRENI VYA UMEME NCHINI KOREA, TRC YAJIPANGA KUHAKIKISHA VIWANGO
    21
    July
    2023

    ​UKAGUZI WA VICHWA VYA TRENI VYA UMEME NCHINI KOREA, TRC YAJIPANGA KUHAKIKISHA VIWANGO

    Shirika la Reli Tanzania TRC linaendelea na majaribio ya mifumo ya vifaa vya uendeji wa Reli ya kisasa SGR vinavyotengenezwa na Kampuni ya Hyundai Rotem katika mji wa Changwon, nchini Korea ya Kusini, Julai, 2023. Soma zaidi