Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • BURUNDI YAFURAHIA MRADI WA RELI YA SGR NA BANDARI KAVU KWALA - RUVU
    24
    July
    2019

    BURUNDI YAFURAHIA MRADI WA RELI YA SGR NA BANDARI KAVU KWALA - RUVU

    ​Serikali ya Burundi imeufurahia mradi mkubwa wa reli ya SGR unaoendelea kufanyika nchini pamoja na ujio wa bandari kavu iliyopo eneo la kwala , ambapo nchi jirani ikiwemo Burundi, Rwanda, Uganda, Congo, Malawi, Zambia zitanufaika na usafirishaji wa mizigo . Soma zaidi

  • UJENZI WA MAHANDAKI RELI YA KISSA - SGR WAANZA RASMI MKOANI MOROGORO
    23
    July
    2019

    UJENZI WA MAHANDAKI RELI YA KISSA - SGR WAANZA RASMI MKOANI MOROGORO

    Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano Mheshimiwa Mhandisi Atashasta Nditiye azindua rasmi uchorongaji Milima Soma zaidi

  • WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA AFANYA UFUNGUZI WA RELI YA TANGA - MOSHI/ KILIMANJARO
    21
    July
    2019

    WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA AFANYA UFUNGUZI WA RELI YA TANGA - MOSHI/ KILIMANJARO

    Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe . Kassim Majaliwa amefanya ufunguzi wa njia ya reli ya Tanga mpaka Moshi / Kilimanjaro katika hafla iliyofanyika mjini Moshi , Kilimanjaro hivi karibuni Julai 2019, Soma zaidi

  •  RAIS WA JAMHURI YA KIDEMOKRASIA YA KONGO AMPONGEZA JPM KWA UJENZI WA RELI YA KISASA - SGR.
    14
    June
    2019

    RAIS WA JAMHURI YA KIDEMOKRASIA YA KONGO AMPONGEZA JPM KWA UJENZI WA RELI YA KISASA - SGR.

    . Soma zaidi

  • ​ZOEZI LA KUHAMISHA MAKABURI KUONGEZA KASI YA MRADI WA SGR MORO -MAKUTUPORA
    13
    June
    2019

    ​ZOEZI LA KUHAMISHA MAKABURI KUONGEZA KASI YA MRADI WA SGR MORO -MAKUTUPORA

    ​Shirika la Reli Tanzania - TRC laendelea na zoezi la kuhamisha makaburi katika maeneo ambayo Reli ya Kisasa - SGR inapita kuanzia Morogoro hadi Makutupora mkoani Singida, hivi karibuni Juni 2019. Soma zaidi

  • ​WAZIRI WA VIWANDA NA UWEKEZAJI SUDAN KUSINI ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA RELI YA KISASA - SGR.
    13
    June
    2019

    ​WAZIRI WA VIWANDA NA UWEKEZAJI SUDAN KUSINI ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA RELI YA KISASA - SGR.

    .Waziri wa Viwanda na Uwekezaji Sudan Kusini Ndugu Paul Mayomu atembelea Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa-SGR kipande cha Daresalaam - Morogoro, Ziara hiyo imefanyika hivi karibuniJune , 2019. Soma zaidi