Habari Mpya
-
14
May
2019ZIJUE FAIDA ZA MRADI WA UJENZI WA RELI YA KISASA – SGR KIPINDI CHA UJENZI NA MARA BAADA YA UJENZI KUKAMILIKA
Shirika la reli Tanzania - TRC laendelea kutoa mafunzo maalum ya usimamizi na uendeshaji wa mifumo ya reli ya kisasa - SGR kwa wafanyakazi Mei 13, 2019. Soma zaidi
-
18
April
2019BODI YA WAKURUGENZI TCRA WAFURAHISHWA NA MAENDELEO YA MRADI WA SGR
Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania – TCRA yafanya ziara katika mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa – SGR kipande cha Dar es Salaam- Morogoro hivi karibuni Aprili 2019. Soma zaidi
-
17
April
2019NAIBU WAZIRI MHE. ATASHASTA NDITIYE AFUNGUA BARAZA JIPYA LA WAFANYAKAZI LA SHIRIKA LA RELI TANZANIA - TRC
Naibu waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano Mhe, Mhandisi Atashasta Nditiye afungua rasmi Baraza jipya la wafanyakazi wa Shirika la Reli Tanzania - TRC katika ukumbi wa Bandari jijini Dar es Salaam hivi karibuni Aprili 2019. Soma zaidi
-
15
April
2019WAZIRI WA UJENZI, UCHUKUZI NA MAWASILIANO MHANDISI ISACK KAMWELWE AFUNGUA RASMI KAZI YA UUNGAJI RELI YA KISASA - SGR.
Waziri wa ujenzi uchukuzi na mawasiliano Mhandisi Isack Kamwelwe afungua rasmi kazi ya kuunganisha Reli ya kisasa - SGR nje kidogo ya kambi ya SGR ya Soga Kibaha hivi karibuni 2019. Soma zaidi
-
06
April
2019TRC KUENDELEA KUTOA ELIMU YA USALAMA KATIKA UENDESHAJI WA SHUGULI ZA RELI KWA WAFANYAKAZI WA RELI.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania TRC afungua mkutano wa mafunzo ya usalama katika uendeshaji wa shughuli za reli Kwa wafanyakazi wa Shirika la Reli Tanzania Soma zaidi
-
06
April
2019BODI YA WAKURUGENZI NEMC YARIDHISHWA NA HATUA ZA UHIFADHI WA MAZINGIRA KATIK MRADI WA SGR
Bodi ya Wakurugenzi ya Baraza la Usimamizi wa Mazingira – NEMC yafanya ziara katika Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa Dar es Salaam – Singida Makutupora Soma zaidi