Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • ZIJUE FAIDA ZA MRADI WA UJENZI WA RELI YA KISASA – SGR KIPINDI CHA UJENZI NA MARA BAADA YA UJENZI KUKAMILIKA
    14
    May
    2019

    ZIJUE FAIDA ZA MRADI WA UJENZI WA RELI YA KISASA – SGR KIPINDI CHA UJENZI NA MARA BAADA YA UJENZI KUKAMILIKA

    Shirika la reli Tanzania - TRC laendelea kutoa mafunzo maalum ya usimamizi na uendeshaji wa mifumo ya reli ya kisasa - SGR kwa wafanyakazi Mei 13, 2019. Soma zaidi

  • BODI YA WAKURUGENZI TCRA WAFURAHISHWA NA MAENDELEO YA MRADI WA SGR
    18
    April
    2019

    BODI YA WAKURUGENZI TCRA WAFURAHISHWA NA MAENDELEO YA MRADI WA SGR

    Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania – TCRA yafanya ziara katika mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa – SGR kipande cha Dar es Salaam- Morogoro hivi karibuni Aprili 2019. Soma zaidi

  • NAIBU WAZIRI MHE. ATASHASTA NDITIYE AFUNGUA BARAZA JIPYA LA WAFANYAKAZI LA SHIRIKA LA RELI TANZANIA - TRC
    17
    April
    2019

    NAIBU WAZIRI MHE. ATASHASTA NDITIYE AFUNGUA BARAZA JIPYA LA WAFANYAKAZI LA SHIRIKA LA RELI TANZANIA - TRC

    Naibu waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano Mhe, Mhandisi Atashasta Nditiye afungua rasmi Baraza jipya la wafanyakazi wa Shirika la Reli Tanzania - TRC katika ukumbi wa Bandari jijini Dar es Salaam hivi karibuni Aprili 2019. Soma zaidi

  • WAZIRI WA UJENZI, UCHUKUZI NA MAWASILIANO MHANDISI ISACK KAMWELWE AFUNGUA RASMI KAZI YA UUNGAJI RELI YA KISASA - SGR.
    15
    April
    2019

    WAZIRI WA UJENZI, UCHUKUZI NA MAWASILIANO MHANDISI ISACK KAMWELWE AFUNGUA RASMI KAZI YA UUNGAJI RELI YA KISASA - SGR.

    Waziri wa ujenzi uchukuzi na mawasiliano Mhandisi Isack Kamwelwe afungua rasmi kazi ya kuunganisha Reli ya kisasa - SGR nje kidogo ya kambi ya SGR ya Soga Kibaha hivi karibuni 2019. Soma zaidi

  • TRC KUENDELEA KUTOA ELIMU YA USALAMA KATIKA UENDESHAJI WA SHUGULI ZA RELI KWA WAFANYAKAZI WA RELI.
    06
    April
    2019

    TRC KUENDELEA KUTOA ELIMU YA USALAMA KATIKA UENDESHAJI WA SHUGULI ZA RELI KWA WAFANYAKAZI WA RELI.

    Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania TRC afungua mkutano wa mafunzo ya usalama katika uendeshaji wa shughuli za reli Kwa wafanyakazi wa Shirika la Reli Tanzania Soma zaidi

  • BODI YA WAKURUGENZI NEMC YARIDHISHWA NA HATUA ZA UHIFADHI WA MAZINGIRA KATIK MRADI WA SGR
    06
    April
    2019

    BODI YA WAKURUGENZI NEMC YARIDHISHWA NA HATUA ZA UHIFADHI WA MAZINGIRA KATIK MRADI WA SGR

    Bodi ya Wakurugenzi ya Baraza la Usimamizi wa Mazingira – NEMC yafanya ziara katika Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa Dar es Salaam – Singida Makutupora Soma zaidi