Habari Mpya
-
24
July
2019BURUNDI YAFURAHIA MRADI WA RELI YA SGR NA BANDARI KAVU KWALA - RUVU
Serikali ya Burundi imeufurahia mradi mkubwa wa reli ya SGR unaoendelea kufanyika nchini pamoja na ujio wa bandari kavu iliyopo eneo la kwala , ambapo nchi jirani ikiwemo Burundi, Rwanda, Uganda, Congo, Malawi, Zambia zitanufaika na usafirishaji wa mizigo . Soma zaidi
-
23
July
2019UJENZI WA MAHANDAKI RELI YA KISSA - SGR WAANZA RASMI MKOANI MOROGORO
Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano Mheshimiwa Mhandisi Atashasta Nditiye azindua rasmi uchorongaji Milima Soma zaidi
-
21
July
2019WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA AFANYA UFUNGUZI WA RELI YA TANGA - MOSHI/ KILIMANJARO
Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe . Kassim Majaliwa amefanya ufunguzi wa njia ya reli ya Tanga mpaka Moshi / Kilimanjaro katika hafla iliyofanyika mjini Moshi , Kilimanjaro hivi karibuni Julai 2019, Soma zaidi
-
14
June
2019RAIS WA JAMHURI YA KIDEMOKRASIA YA KONGO AMPONGEZA JPM KWA UJENZI WA RELI YA KISASA - SGR.
-
13
June
2019ZOEZI LA KUHAMISHA MAKABURI KUONGEZA KASI YA MRADI WA SGR MORO -MAKUTUPORA
Shirika la Reli Tanzania - TRC laendelea na zoezi la kuhamisha makaburi katika maeneo ambayo Reli ya Kisasa - SGR inapita kuanzia Morogoro hadi Makutupora mkoani Singida, hivi karibuni Juni 2019. Soma zaidi
-
13
June
2019WAZIRI WA VIWANDA NA UWEKEZAJI SUDAN KUSINI ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA RELI YA KISASA - SGR.
.Waziri wa Viwanda na Uwekezaji Sudan Kusini Ndugu Paul Mayomu atembelea Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa-SGR kipande cha Daresalaam - Morogoro, Ziara hiyo imefanyika hivi karibuniJune , 2019. Soma zaidi