Habari Mpya
-
18
February
2019TRC YAENDELEA NA ZOEZI LA ULIPAJI FIDIA
Shirika la Reli Tanzania laendelea kulipa fidia ya ardhi kwa wananchi wa mkoa wa Dar es Salaam ambao maeneo yao yamepitiwa na Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa – SGR awamu ya kwanza Dar es Salaam – Morogoro Soma zaidi
-
18
February
2019WASANII, WANAMICHEZO, WASHEREHESHAJI WAFURAHISHWA NA MRADI WA SGR
Wasanii, Wanamichezo, Wanahabari na Washereheshaji wakiongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Paul Makonda watembelea Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa kipande cha Dar es Salaam – Morogoro kwa lengo la kuona maendeleo ya Mradi pamoja na kujifunza kuhusu mradi wa SGR mapema mwezi Februari 2019. Soma zaidi
-
23
November
2018TRC YAZINDUA NEMBO MPYA NA BENDERA
Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano Mheshimiwa Mhandisi Atashasta Nditiye azindua rasmi Nembo mpya na Bendera ya TRC katika hafla ya Wiki ya TRC iliyohudhuriwa na Wafanyakazi wa TRC, wadau mbali mbali wa usafiri wa Reli na waandishi wa Habari Makao makuu ya TRC jijini Dar es Salaam Septemba 2018. Soma zaidi
-
14
June
2018WAZIRI MBARAWA AZINDUA BODI YA WAKURUGENZI WA SHIRIKA LA RELI TANZANIA
Waziri wa ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa leo Juni 11, 2018 amezindu rasmi bodi ya wakurugenzi ya Shirika la Reli Tanzania. Soma zaidi