Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • TRC NA DIT ZATILIANA SAINI MAKUBALIANO YA KUKUZA MATUMIZI YA TEKNOLOJIA KATIKA HUDUMA ZA USAFIRI WA RELI
    11
    September
    2019

    TRC NA DIT ZATILIANA SAINI MAKUBALIANO YA KUKUZA MATUMIZI YA TEKNOLOJIA KATIKA HUDUMA ZA USAFIRI WA RELI

    Shirika la Reli Tanzania – TRC limetiliana saini mkataba na Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam – DIT kwa lengo la kushirikiana katika kutoa mafunzo, kufanya utafiti, na kuendeleza matumizi ya teknolojia katika huduma za usafiri wa reli, Soma zaidi

  • RAIS MAGUFULI NA RAIS MUSEVENI WATEMBELEA BANDA LA TRC
    06
    September
    2019

    RAIS MAGUFULI NA RAIS MUSEVENI WATEMBELEA BANDA LA TRC

    ​Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli na Rais Kaguta Museveni wa Uganda wafungua kongamano la kwanza la Biashara kati ya Tanzania na Uganda Soma zaidi

  • UCHORONGAJI MILIMA KWA AJILI YA UJENZI WA MAHANDAKI YATAKAZOPITISHA RELI YA KISASA YAENDELEA KWA KASI
    30
    August
    2019

    UCHORONGAJI MILIMA KWA AJILI YA UJENZI WA MAHANDAKI YATAKAZOPITISHA RELI YA KISASA YAENDELEA KWA KASI

    ​Shirika la Reli Tanzania - TRC laendelea na usimamizi wa Mradi mkubwa wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa – SGR Kilosa mkoani Morogoro, ambapo kazi kubwa katika eneo hilo ni uchorongaji Milima kwa ajili ya ujenzi wa mahandaki ‘tunnels Soma zaidi

  •  SHIRIKA LA RELI TANZANIA - TRC LAENDELEA NA ZOEZI LA KUHAMISHA MAKABURI KIPANDE CHA MOROGORO - MAKUTUPORA
    24
    August
    2019

    SHIRIKA LA RELI TANZANIA - TRC LAENDELEA NA ZOEZI LA KUHAMISHA MAKABURI KIPANDE CHA MOROGORO - MAKUTUPORA

    . Soma zaidi

  • ​MKURUGENZI MTENDAJI BENKI YA DUNIA AFRIKA AIPONGEZA TANZANIA KWA KUJENGA RELI YA KISASA KWA FEDHA ZAKE ZA NDANI
    23
    August
    2019

    ​MKURUGENZI MTENDAJI BENKI YA DUNIA AFRIKA AIPONGEZA TANZANIA KWA KUJENGA RELI YA KISASA KWA FEDHA ZAKE ZA NDANI

    Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Dunia Kanda ya Afrika Bi. Anne Kabagambe amefanya ziara fupi kuona Mradi mkubwa wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa – SGR kipande cha Dar es Salaam – Morogoro Agosti 22, 2019. Soma zaidi

  • MSEMAJI MKUU WA SERIKALI Dk. HASSAN ABBASI AIPONGEZA TRC KWA KUTANGAZA VYEMA MIRADI NA HUDUMA ZITOLEWAZO NA TRC.
    22
    August
    2019

    MSEMAJI MKUU WA SERIKALI Dk. HASSAN ABBASI AIPONGEZA TRC KWA KUTANGAZA VYEMA MIRADI NA HUDUMA ZITOLEWAZO NA TRC.

    Msemaji Mkuu wa Serikali na Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo Dkt. Hassan Abbasi ametembelea ofisi ya makao makuu Shirika la Reli Tanzania - TRC kwa lengo la kutoa elimu kuhusu muongozo na Mkakati wa Mawasiliano ya Shirika Soma zaidi