Habari Mpya
-
01
October
2019JESHI LA POLISI TANZANIA LAENDELEA NA MIKAKATI YA KUIMARISHA ULINZI NA USALAMA KATIKA MRADI WA SGR
Makamishna pamoja na Maafisa waandamizi wa Jeshi la Polisi Tanzania wafanya ziara katika Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa - SGR kipande cha Dar es Salaam - Morogoro hivi karibuni Septemba 2019. Soma zaidi
-
23
September
2019SHIRIKA LA RELI TANZANIA - TRC LAENDELEA NA ZOEZI LA KUHAMISHA MAKABURI KIPANDE CHA MOROGORO- MAKUTUPORA
SHIRIKA LA RELI TANZANIA - TRC LAENDELEA NA ZOEZI LA KUHAMISHA MAKABURI KIPANDE CHA MOROGORO- MAKUTUPORA SINGIDA ILI KUPISHA MRADI WA SGR Soma zaidi
-
20
September
2019SHIRIKA LA RELI TANZANIA – TRC KUBEBA MAONO YA MAENDELEO YA UCHUMI WA NCHI ZA SADC:
Banda la Shirika la Reli Tanzania -TRC limepata bahati kutembelea na mgenirasmi Mh. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa Kassim wakati wa ufunguzi wa mkutano wa Mawaziri wa Sekta ya Tehama, Habari, Uchukuzi na Hali ya Hewa wa nchi16 za Jumuiya ya maendeleo ya kusini mwa Africa – SADC, Soma zaidi
-
20
September
2019UJENZI WA MAHANDAKI YATAKAYOPITISHA RELI YA KISASA – SGR KATIKA MILIMA YA KILOSA WAZIDI KUNOGA
Maendeleo ya ujenzi wa reli ya kisasa kwa kipande cha awamu ya pili Morogoro-Makutopora Singida wazidi kunoga umefikia zaidi ya 15% Soma zaidi
-
18
September
2019BANDARI KAVU YA ISAKA KUONGEZEWA UWEZO KUPITIA MRADI WA UBORESHAJI WA RELI YA KATI DAR - ISAKA
Mradi wa Uboreshaji reli ya kati Dar - Isaka umepelekea kuongeza uwezo wa kupokea, kuhifadhi na kupakua mizigo Bandari Kavu ya Isak Soma zaidi
-
16
September
2019MRADI WA UBORESHAJI WA RELI YA KATI – TIRP DAR ES SALAAM ISAKA WAFIKIA 40%
Mradi wa Uboreshaji wa Reli ya Kati – TIRP Dar es Salaam – Isaka wafikia 40% tangu kuanza utekelezaji wake mwezi Juni 2018. Mradi huo unahusisha uboreshaji wa miundombinu ya reli Soma zaidi