Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania

Habari Mpya


  • BODI YA WAKURUGENZI NEMC YARIDHISHWA NA HATUA ZA UHIFADHI WA MAZINGIRA KATIK MRADI WA SGR
    06
    April
    2019

    BODI YA WAKURUGENZI NEMC YARIDHISHWA NA HATUA ZA UHIFADHI WA MAZINGIRA KATIK MRADI WA SGR

    Bodi ya Wakurugenzi ya Baraza la Usimamizi wa Mazingira – NEMC yafanya ziara katika Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa Dar es Salaam – Singida Makutupora Soma zaidi

  • WAWAKILISHI WA WAJUMBE WA KAMATI YA MADENI YA KITAIFA WAFANYA ZIARA KATIKA MRADI WA SGR
    01
    April
    2019

    WAWAKILISHI WA WAJUMBE WA KAMATI YA MADENI YA KITAIFA WAFANYA ZIARA KATIKA MRADI WA SGR

    Wawakilishi wa Wajumbe wa Kamati ya Kitaifa ya Madeni watembelea kambi za Mradi wa Ujenzi wa Reli ya KIsasa – SGR za Ilala na Soga kipande cha Dar - Moro kwa lengo la kuona maendeleo ya Mradi Aprili 1, 2019. Soma zaidi

  • ​SEKRETARIETI YA BARAZA LA USALAMA LA TAIFA YAIPONGEZA TRC KWA KASI YA UJENZI WA RELI YA KISASA - SGR
    29
    March
    2019

    ​SEKRETARIETI YA BARAZA LA USALAMA LA TAIFA YAIPONGEZA TRC KWA KASI YA UJENZI WA RELI YA KISASA - SGR

    Sekretarieti ya Baraza la Usalama la Taifa yafanya ziara kukagua maendeleo ya mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa - SGR Dar es Salaam - Makutupora Machi 2019. Soma zaidi

  • WAZIRI MKUU MSTAAFU KENYA RAILA ODINGA AMPONGEZA RAIS MAGUFULI KWA UAMUZI WA UJENZI WA RELI YA KISASA – SGR.
    21
    March
    2019

    WAZIRI MKUU MSTAAFU KENYA RAILA ODINGA AMPONGEZA RAIS MAGUFULI KWA UAMUZI WA UJENZI WA RELI YA KISASA – SGR.

    Waziri mkuu mstaafu wa Kenya Mhe. Raila Odinga atembelea mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa – SGR kipande cha Dar es Salaam – Morogoro. Soma zaidi

  • ​WAZIRI MKUU AWAHIMIZA MAWAZIRI NA WAKUU WA TAASISI KUTOA VIPAUMBELE KWA VITENGO VYA HABARI
    19
    March
    2019

    ​WAZIRI MKUU AWAHIMIZA MAWAZIRI NA WAKUU WA TAASISI KUTOA VIPAUMBELE KWA VITENGO VYA HABARI

    Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa afungua kikao kazi cha 15 cha Maafisa Mawasiliano wa serikali. Soma zaidi

  • JESHI LA POLISI LAHAMASIKA KUIMARISHA HALI YA USALAMA KATIKA MAENEO YALIYOPITIWA NA MRADI WA SGR
    28
    February
    2019

    JESHI LA POLISI LAHAMASIKA KUIMARISHA HALI YA USALAMA KATIKA MAENEO YALIYOPITIWA NA MRADI WA SGR

    Mkuu wa Jeshi la Polisi Kamanda Simon Sirro atembelea mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa – SGR Dar es Salaam hadi Kilosa kuona hali ya usalama wa mali na wafanyakazi katika mradi wa SGR hivi karibuni Februari 2019. Soma zaidi