Treni ya Ordinary

1119
January
2018
January
2018
Tuna treni ya Ordinary ambayo inazofanya safari zake mara mbili kwa wiki, kutoka Dsm-Kigoma na Mwanza kupitia Tabora na kurudi Dsm. Treni hii ina Daraja la kwanza kulala, la pili kulala na kukaa na la tatu kukaa, pia treni hii ina behewa maalumu kwa kutoa huduma ya chakula na vinywaji.